VITAMIN C
kwa kutumia vitamini C mwanamke anaweza kufupisha mzunguko wake wa hedhi kwa sababu vitamin C inaongeza homoni ya osterogen ambayo kazi yake mojawapo ni kuporomosha ukuta wa tumbo la uzazi, pia vitamini C hupunguza homoni ya progestrone ambayo kazi yake ni kuimarisha ukuta watumbo la uzazi. vyanzo vya vitamini C ni kama matunda kama machungwa, limao, chenza, zabibu.Inapoelekea siku ya 28 ya mzunguko ambazo ndo siku za kawaida kwa wanawakea unaweza ukanya juisi ya matunda haya au uwe na tabia ya kunywa juisi ya matunda hayo. Au unaweza ukanunu vitamin C kwenye duka la dawa ukanywa
Tahadhali ambayo unatakiwa kuichukua ni kwambahaitakiwa mtu ambae ni mja mzito atumie kwa wingi vitamini C, pia unapokunywa vidonge vya vitamini C utumie maaji mengi kwa sababu vitamin hizi zina hatari ya kusababisha matatizo kwenye figo
Je umekuwa ukisumbuka na hedhi kwa Muda mrefu,yaani inatoka nyingi, au hupati kabisa
ReplyDeletePiga 0657357443 kupata vitamin vyenye uwingi wa vitamin C vinauzwa sh 65,000 tu.
Je umekuwa ukisumbuka na hedhi kwa Muda mrefu,yaani inatoka nyingi, au hupati kabisa
ReplyDeletePiga 0657357443 kupata vitamin vyenye uwingi wa vitamin C vinauzwa sh 65,000 tu.